Kama kwenye Maisha yako hujawahikuwashuhudia wahalifu maarufu ambao ni wadukuzi waliowahi kuitikisa Dunia kupitia mtandao wa intaneti na kupelekea kutambulika
Wahalifu hao waliweza kufanya wizi wa pesa,wengine
kudukuamifumo yataasisi au shirika Fulani lengo ni kujionyesha kwanini
wamefanya hivyo.
Kama unalengo la kuwa hacker wafahamu wadukuzi wenye nguvu
Zaidi duniani kupitia intaneti.
KELVIN MITNICK
Huyu jamaa aliweza kudukua mfumo mzima wa Nokia,Motorola na
FBI sio kwa ajili ya pesa hapana bali alifanya hivyo kuonyesha kuwa yeye
anauwezo mkubwa na anaweza kufanya chochote kile
ADRIANO RAMO
Anajulikana kama muhalifu asiye na makazi”homeless hacker”
baada ya kudukua mifumo ya Microsoft na yahoo kwa kukaa tu kwa Rafiki yake kwenye
kiti na migahawani.
JONATHAN JAMES
Huyu jamaa alikamatwa na marekani baada ya kufanya udukuzi
wa data mbalimbali za NASA na kusababisha mabilioni ya pesa kupotea ndo alikua
muhalifu mwenye umri mdogo zaidi.
LIZARD SQUAD
Ilikua siku ya krismasi mwaka 2014 waliweza kuvuruga mifumo
yote ya playstation na xbox na
kupelekea kusababisha mamilioni ya
watukushindwa kucheza Game ulimwenguni kote.
ALBERT GONZALEZ
Huyu jamaa aliweza kupiga sana pesa kupitia kampuni ya TJX kwakufanya largest data
breaches(wizi mkubwa wa data kwa kuiba Zaidi milioni170 credit kadi za watu mbalimbali na kutoa pesa
GARY MCKNINNON
Zaidi ya Data milioni 97 Toka NASA na idara ya ulinzi wa
Marekani zilipotea na kudukuliwa wakati wa taarifa za siri kuhusu viumbe aina
ya Alien na Area 51ambao huu ulikua udukuzi mkubwa Zaidi wa kijeshina masuala
ya usalama.
Je wewe umewahi kusikia na kuona wasuala mbalimbali ya
udukuzi kama ndio tushirikishe kwenye uwanja wa komenti?
KWA MAKALA ZAIDI YA
TEKNOLOJIA USISAHAU KUTUFUATILIA CHESCO TECH